Zawadi ya Alqamaru ni ya kimataifa na inalenga kuenzi utamaduni na turathi za kiislamu, kama ifuatavyo:
- 1- Kuinua kiwango cha kuhakiki, kuandika, kuandaa faharasi na kutafsiri turathi, kwa kufuata misingi ya kielimu.
- 2- Kushajihisha watu na taasisi kulinda turathi za kiislamu na kuzitangaza.
- 3- Kusaidia wadau wa turathi na kulinda utambulisho halisi wa kiislamu.
- 4- Kuingiza kwenye maktaba za kiislamu mambo muhimu ya turathi za kiislamu.