Mada kubwa zitakazo fundishwa ni:
- - Historia ya uimbaji.
- - Adabu za uimbaji.
- - Mahadhi (maqaamaat).
Watu watakao shishiki kwenye semina hii watapewa vyeti vya ushiriki baada ya kufanya mtihani wa mwisho, pamoja na kutoa zawadi kwa washiriki bora, mshiriki ataweza kupata mhadhara wakati wowote na akiwa mahala popote, kuna App itakayo tengenezwa wakati wa semina, watakao fanya vizuri katika semina hii watapewa nafasi ya kushiriki katika semina zijazo.
Yeyote anayependa kushiriki ajaze fomu ya kujisajili kupitia link ifuatayo: https://forms.gle/LoicKig4vVb84jWm8