Ofisi ya Mheshimiwa Sayyid Sistani katika mji mtukufu wa Najafu imetangaza kuwa kesho siku ya Jumanne tunakamilisha mwezi mtukufu wa Shabani, na siku ya Jumatano sawa na tarehe (14/4/2021m) itakua siku ya kwanza ya mwezi mtukufu wa Ramadhani wa mwaka 1442 Hijiriyya.
Tunakuombeni dua.