Ofisi ya Mheshimiwa Sayyid Sistani imesema: Jumatatu itakuwa mwezi mosi Dhulhijjah

Maoni katika picha
Ofisi ya Mheshimiwa Sayyid Sistani katika mji wa Najafu, imetangaza kuwa kesho siku ya Jumapili tutakamilisha mwezi wa Dhulqaadah, na siku ya Jumatatu sawa na tarehe (12/07/2021m) ndio siku ya kwanza ya mwezi mtukufu wa Dhulhijjah 1442h, tunakuombeni dua.
Maoni ya wasomaji
Hakuna maoni
Kuweka maoni
Jina:
Nchi:
Barua pepe:
Kushiriki: