Ripoti ya video.. kitengo cha Dini ni sehemu ya kuelekeza kuongoza na tablighi

Maoni katika picha
Kitengo cha Dini ni moja ya vituo muhimu katika Atabatu Abbasiyya tukufu, umuhimu wake unatokana na kazi ya kufundisha elimu ya Dini tukufu.

Majukumu ya watumishi wake huongezeka pale uhusiano na taasisi za Dini pamoja na wanajamii unapokua mkubwa, tambua kuwa kitengo hiki ni cha Atabatu Abbasiyya tukufu, yenye nafasi kubwa kiimani na katika Dini kwa waislamu wote.

Tangu kilipoanzishwa kitengo cha Dini kimekua na mawasiliano mazuri na jamii, na kinafanya kazi ya kusambaza fikra za Ahlulbait (a.s), kupitia wahudumu waliobobea katika mambo mbalimbali, wenye uwezo mkubwa wa kutekeleza majukumu yao.
Maoni ya wasomaji
Hakuna maoni
Kuweka maoni
Jina:
Nchi:
Barua pepe:
Kushiriki: