Tambua kuwa mwisho wa kupokea maombi ni siku ya Jumatano (10/11/2021m).
Masharti ya muombaji:
- 1- Awe ni mkazi wa mkoa wa Karbala.
- 2- Asiwe na mkataba wa kazi serikalini au kwenye mashirika binafsi.
- 3- Asiwe na ndugu wa daraja la kwanza au la pili anayefanya kazi katika Atabatu Abbasiyya tukufu.
Maombi yatumwe kupitia link ifuatayo:
https://docs.google.com/forms/d/e/1FAIpQLSfY8HFXfYyumTk0aF_Pr5omr7RSAeouO5srdYPrhTAHIVroMw/viewform
tarehe ya majaribio itapangwa rasmi na (kitengo cha malezi na elimu ya juu katika Atabatu Abbasiyya tukufu).