Kikao cha tatu na cha mwisho kimefanya ndani ya ukumbi wa Imamu Hassan (a.s) na mada zifuataza zimejadiliwa:
- - Vyombo vya Habari na ugaidi changamoto ya mahusiano na nyenzo za athari - Dkt. Muhammad Hassan Dakhiil/ Dkt. Zaharaa Ali Dakhiil.
- - Wajubu wa watangazaji wa Habari katika kupotosha ukweli - Dkt. Haidari Naaji Twahir Salmani.
- - Vita vya kisaikolojia na changamoto ya uvumi wa mitandao ya kijamii – Dkt. Nizaat Naaji Muhammad.
- - Vyombo vya Habari na kupambana na ugaidi wa kwenye mitandao – Haidari Karim Abdurazaaq.
- - Kupanga vipaombele katika mambo ya kijamii na kwenye mitandao ya mawasiliano ya kijamii kwenye vyombo vya Habari vya Sirya na mitandao ya kijamii katika tafiti za kinaswara – Dkt. Ahmadi Ali Sha’rawi.
Kikao cha pili kikafanywa ndani ya ukumbi wa Qassim (a.s) kwa lugha ya kiengereza na zikajadiliwa mada zifuatazo:
1- MEDIA: A SOFT WEAPON USED BY TERRORISM- Dr. Safa Mahdi Ubeid Al-Waali
2- Verbatim Theater: - a Study of David Hare's Stuff Happens and Anna Smith's Fires - in The Mirror - Prof. Dr Ansam R. Abdullah Al-Maaroof
3- The Role of Imagination in Children Poetry - Dr. Rudaina Abdulrazzaq Mohammed
4- The Conversational Strategies in Religious Discourse to Face Misleading Media - Inst. Dr. Adawyia Sattar Abood
5- The Language of the Glorious Quran and the Sustainability of Objective Media - Asst. Dr. Waleed Ridha Ham-moodi Al-Jwaid