Mkufunzi wa semina Shekhe Daakhil Nuri amesema “Idara ya Dini chini ya kitengo, imeandaa semina ya kuwajendea uwezo watumishi wa shirika la Liwaaul-Aalamiyya, chini ya maelekezo ya kiongozi mkuu wa kisheria Sayyid Ahmadi Swafi ya kufanya semina za kidini kweye vitengo tofauti vya Atabatu Abbasiyya tukufu”.
Akaoingeza kuwa “Washiriki wa semina ni watumishi 30, imehusisha mada za Aqida, Hukumu za kisheria, vitenguzi vya swala pamoja na mambo mengine mengi ambayo mtumishi anatakiwa kuyajua”.
Akasema kuwa semina itadumu kwa muda wa siku tato, siku ya mwisho washiriki watapewa jaribio la kupima uwelewa wao.




