Kupitia maukibu ya kutoa huduma.. idara ya Masayyid inahudumia mazuwaru katika siku ya Arafa

Wahudumu wa idara ya Masayyid katika Atabatu Abbasiyya, wamehudumia mazuwaru katika malalo ya Abulfadhil Abbasi (a.s) siku ya Arafa kupitia maukibu ya utoaji wa huduma.

Maukibu inatoa huduma mbalimbali kupitia maukibu iliyopo katika mlango wa qibla ya Abulfadhil Abbasi (a.s), ikiwa ni pamoja na kugawa maji baridi ya kunywa na huduma zingine nyingi zinazotolewa ndani na nnje ya haram tukufu.

Vitengo vya Atabatu Abbasiyya vinafanya kila viwezalo katika kuhudumia mazuwaru wanaokuja Karbala, kuhuisha siku ya Arafa na sikukuu ya Idul-Adh-ha.
Maoni ya wasomaji
Hakuna maoni
Kuweka maoni
Jina:
Nchi:
Barua pepe:
Kushiriki: