Atabatu Abbasiyya imefanya majlisi ya kuomboleza misiba ya Ahlulbait (a.s)

Atabatu Abbasiyya tukufu imefanya majlisi ya kuomboleza misiba ya Ahlulbait (a.s) ndani ya ukumbi wa utawala.

Mhadhiri ameongea mada mbalimbali, amekumbusha historia tukufu ya Maimamu wa Ahlulbait (a.s) na nafasi yao katika kufundisha misingi ya Dini ya kiislamu.

Majlisi ya kuomboleza ni sehemu ya ratiba endelevu katika Ataba tukufu, yenye lengo la kuhuisha mafundisho ya Ahlulbait (a.s) na wafuasi wao.
Maoni ya wasomaji
Hakuna maoni
Kuweka maoni
Jina:
Nchi:
Barua pepe:
Kushiriki: