Makundi ya zuwaru yameshiriki katika usomaji wa Dua Komail mbele ya malalo ya Abulfadhil Abbasi (a.s)

Ukumbi wa haram ya Abulfadhil Abbasi (a.s) katika usiku wa Ijumaa ndani ya mwezi wa Shabani, imesomwa Dua Komail kwa ushiriki wa kundi kubwa la zuwaru.

Ibada ya usomaji wa dua imefanywa katika mazingira tulivu na kwa ushiriki wa idadi kubwa ya zuwaru wa Imamu Hussein na ndugu yake Abulfadhil Abbasi (a.s).

Wahudumu wa Atabatu Abbasiyya wameandaa mazingira vizuri kwa ajili ya ibada hiyo tukufu ambayo hufanywa kila wiki, wameandaa vitabu vya dua, sehemu maalum ya kufanyia idaba, wamepuliza marashi sehemu hiyo sambamba na kutoa huduma zingine nyingi.
Maoni ya wasomaji
Hakuna maoni
Kuweka maoni
Jina:
Nchi:
Barua pepe:
Kushiriki: