Atabatu Abbasiyya imefanya kikao cha kuweka mikakati ya shughuli ya kushindikiza muili wa Sayyid Shahidi Ali Khamanei (r.a)

Idara ya Atabatu Abbasiyya imefanya kikao cha kuweka mikakati ya mwisho kuelekea shughuli ya kushindikiza muili wa Muheshimiwa Ayatullah Sayyid Shahidi Ali Khamanei (r.a).

Kikao hicho kimehudhuriwa na makamo katibu mkuu Sayyid Abbasi Mussa Ahmadi, wajumbe wa kamati kuu, maraisi wa vitengo na viongozi wa idara mbalimbali.

Wamejadili mambo mbalimbali kuhusu ratiba na utoaji wa huduma, ili kufanikisha swala hilo kwa ufanisi katika mji wa Karbala.
Maoni ya wasomaji
Hakuna maoni
Kuweka maoni
Jina:
Nchi:
Barua pepe:
Kushiriki: