Chini ya vipimo na vigezo vya kimataifa: Yatangazwa majina ya washindi katika maonyesho na kongamano la kwanza la wabunifu..

Mmoja wa washindi
Chini ya vipimo na vigezo vya kimataifa vilivyo tumiwa katika kukubali zana za ubunifu zitakazo shiriki katika maonyesho na kongamano la kwanza la wabunifu na kamati mseto ya maandalizi baina ya jukwaa la wabunifu na Atabatu Abbasiyya tukufu, ambapo vilipelekea kupasishwa aina (108) za ubunifu katika aina (570) zilizo omba kushiriki, huo ulikua mchujo wa awamu ya kwanza, katika awamu ya pili wamechaguliwa washindi katika kila aina ya ubunifu na kupewa zawadi, zawadi ya kwanza ni midani ya Dhahabu, ya pili midani ya Fedha na ya tatu midani ya Bronze, matokeo yalikua kama ifuatavyo:

Kwanza: Washindi katika ubunifu wa sekta ya elimu

Walio pata midani ya Dhahabu:

Profesa Korakis Abdaal Adam

Dokta Muhammad Ali Jaabir

Mwalimu Aun Lafta Alayu

Ahmad Kadhim Jaasim

Kutokana na ubunifu wa (teknolojia ya kiiraq ya kuzalisha vigae imara vya chuma).

Walio pewa midani ya Fedha ni:

Dokta. Alwaan Naswif Jaasim

Sayyid Rawaau Abdallah Ali

Sayyid Quraish Abbasi Kadhim

Sayyid Nuru Adnani Qaasim

Sayyid Qaasim Muhammad Swahni

Kutokana na ubunifu wa (Kuandaa vimelea na kuvitumia katika kufunika na kutunza nafaka za chakula vinavyo zuia kuharibika na kutoka wadudu katika nafaka).

Walio pewa midani ya Bronze ni:

Profesa Falaah Hassan Hussein

Profesa Haidari Ubais Haashim

Kutokana na ubunifu wa (Kurejesha mzunguko Athidiyom).

Pili: Washindi wa ubunifu wa kihandisi

Waliopewa midani ya Dhahabu ni:

Ustadh Anwaar Jalil Shihaab

Profesa. Ali Abdulhussein Mahadi

Profesa. Mudhaau Muhammad Shit

Kutokana na ubunifu wa (Mkono wa kufundishia wenye kutoa sauti na mwanga).

Aliye pewa midani ya Fedha ni:

Sayyid Ali Inaad Muhsin Fuadiy.

Kutokana na ubunifu wa (kifaa cha kutolea uchafu katika maji ya visima na kuyafanya yawe safi na kukata kiu).

Waliopewa midani ya Bronze ni:

Profesa. Kaadhim Kaamil Rasan

Pfrofesa. Muhsin Jabri Joji

Sayyid Mustafa Twariq Ismaeel

Tatu: Washindi katika ubunifu wa vifaa vya kijeshi

Waliopata midani ya Dhahabu:

Profesa. Thaamir Abdul-ameer Hassan

Muhandisi Uswaam Raadhi Abbasi

Mwanafizikia Ali Qassim Twa’ama

Muhandisi Ali Abdusaada Alawiy

Mpangiliaji Ali Thaamir Abdul-ameer

Kutokana na ubunifu wa (Vifaa vya kurushia mabomu kwa muda tofauti)

Aliopata midani ya Bronze:

Sayyid Majid Mushajal Faraju

Kutokana na ubunifu wa (Kifaa cha kujaza risasi za kiwango cha kati KBC).

Nne: Washindi wa ubunifu wa tiba

Aliye pata midani ya Dhahabu:

Sayyid Hukimat Faraju Nauum

Kutokana na ubunifu wa (Kifaa cha kuchochea umeme cha kitabibu).

Waliopata midani ya Fedha:

Mwalimu Zainabu Haadi Abbasi

Profesa. Kafaah Said Abbasi

Dokta. Naahi Yusufu Yasini

Kutokana na ubunifu wa (Kutoa na kusafisha uchafu wa mbuzi na kutengeneza kinga ya baadhi ya aina za saratani).

Waliopata midani ya Bronze:

Dokta. Falak Usama Abbasi

Profesa. Asilu Basim Abdulhussein

Mwalimu. Raghad Usama Abbasi

Kutokana na ubunifu wa (Kutengeneza aina mpya na bora kwa kutibu meno yaliyo haribika).

Tano: Waliofaulu katika ubunifu wa kilimo

Aliyepata midani ya Dhahabu:

Sayyid Raami Hassan Abbasi Janabi

Kutokana na ubunifu wa (Kifaa cha kupandia juu ya mitende)

Waliopata midani ya Fedha:

Profesa. Saadi Abdulhussein Naaji

Sayyid Hassan Abdulhussein Tamimiy

Dokta. Ammaar Dhiyaab Twalib

Dokta. Saadiy Shaalaani

Dokta. Susan Swaabir Khalifa

Dokta. Shalimuun Jaju

Dokta. Bishiy Saadiy

Kutokana na ubunifu wa (Kutengeneza chembe chembe hai za kuyayusha katika maji na kuzitumia kwa tiba ya kuharisha kwa watoto, pia chembe chembe hizo huongeza uzalishaji wa kuku wa mayai)

Waliopata midani ya Bronze:

Profesa. Hamid Kaadhim Abdul-ameer

Sayyid Ahmad Haadiy Abuud

Mwalimu Mustafa Hassan Maryush

Profesa. Abbasi Abdulhussein Karim

Mwalimu Ahmad Karim Abdallah

Kutokana na ubunifu wa (zana za ukuzaji wa mimea wa haraka).
Maoni ya wasomaji
Hakuna maoni
Kuweka maoni
Jina:
Nchi:
Barua pepe:
Kushiriki: