Kozi ni ya mwaka mmoja na nusu, siku mbili kila wiki (Juma Mosi na Juma Pili) na husomeshwa mada za:
- - Masomo ya Fiqhi.
- - Masomo ya Aqida.
- - Mbinu za utoaji wa Khutuba (Muhadhara).
- - Qur’an na Maarifa ya Qur’an.
Tambua kua usajili unaendelea katika Maahadi ndani ya ukumbi wa haram tukufu ya Abulfadhil Abbasi (a.s), kwa maelezo zaidi piga namba zifuatazo: (07602334055 au 07810645244).
Kumbuka kua lengo la kuanzishwa Maahadi hii; ni kuboresha tablighi upande wa wanawake, kutokana na umuhimu wao mkubwa hasa katika kipindi cha maombolezo, na kuhakikisha wanapanua wigo wao katika ufikishaji wa maswala ya Imamu Hussein tena kwa njia nyepesi na yenye kueleweka zaidi.