Kituo kimetoa masharti ya ushiriki kama ifuatavyo:
- 1- Lazima uzungumzie safari zilizo nakiliwa, zilizo fanyika kabla ya zama za maendeleo au baada yake.
- 2- Kuwasiliana na idara ya wahariri kwa ajili ya kujisajili na kuchagua mada.
- 3- Kutotosheka na ya kusifu bali ulazima wa kuandika na maelezo ya ukosowaji.
- 4- Ukurasa mmoja uelezee wasifu wa muandishi mhusika wa safari.
- 5- Utafiti usiwe zaidi ya kurasa (25).
- 6- Utafiti utakua mali ya kituo na kitakua na haki ya kuurudufu na kuutafsiri katika lugha zingine.
- 7- Zitatolewa zawadi za pesa kwa watafiti.
- 8- Muda wa juu wa kutuma tafiti ni miezi (4).
- 9- Kufanyia kazi maono ya kamati ya watalamu kama yakipatikana.
- 10- Kuwasiliana na ofisi inayo simamia mradi huu na tafiti zitumwe kupitia barua pepe ifuatayo: css.ib@gmail.com
Kumbuka kua safari za Magharibi ni miongoni mwa sababu kubwa za waislamu kuitambua Magharibi moja kwa moja, waliandika waliyo yashuhudia na wakaelezea safari zao kwa urefu kiasi mwanafunzi wa Magharibi hawezi kuelewa mambo yote, kuna vitabu vingi sana katika ulimwengu wa kiislamu vinavyo elezea safari hizo za Mashariki na Magharibi, na vinaendelea kusambaa hadi leo.