Wametoa wito kwa vyombo vyote vya habari vya kitaifa na kimataifa vitakavyo penda kurusha matangazo hayo wanaweza kutumia anuani zifuatazo:
E3B at 3.1 °E
Down:11595.9 H
SR:2500
DVBS2
8PSK
FEC:3/4
HD/MPEH-4
matangazo hayo yatarushwa kwa ratiba ifuatayo:
- 1- Saa 02:00 asubuhi hadi saa 05:30 asubuhi watembea kwa miguu.
- 2- Saa 05:30 asubuhi kisomo cha Qur’ani tukufu na swala ya Adhuhuri na Alasiri kutoka katika Atabatu Husseiniyya tukufu.
- 3- Saa 09:00 jioni hadi saa 11:30 jioni watembea kwa miguu.
- 4- Saa 11:30 kisomo cha Qur’ani tukufu na swala ya Magharibi na Isha kutoka katika Atabatu Abbasiyya tukufu.
- 5- Siku ya Juma Nne na Alkhamisi kutakua na kipindi maalumu cha kiibada kitakacho fanywa na watumishi wa Atabatu Abbasiyya tukufu saa 08:00 Adhuhuri.
- 6- Iwapo yakitokea mabadiliko yeyote yatatangazwa siku moja kabla InshaAllah.
Fahamu kua matangazo hayo yatafanyika saa 24.
Kwa maelezo zaidi unaweza kuwasiliana nasi kwa simu namba:
09647732407567 / Muhandisi wa urushaji wa vipindi. Na: 09647706007187 / Idara ya kituo.
Chombo cha habari kitakacho shindwa kufuatilia matangazo yetu kwa kutumia anuani tulizo taja, kinaweza kufuatilia kupitia mitandao ya kijamii, (Facebook) katika ukurasa ufuatao:
https://www.facebook.com/alkafeel.for.artistic.production/
Au katika ukurasa ya Youtube ufuatao:
https://www.youtube.com/channel/UCy0MMgRho_O8jxiIj46qMxw