Maoni katika picha
Wamepewa zawadi za aina mbalimbali, na miongoni mwa walikua wanakabidhi zawadi ni Mheshimiwa kiongozi mkuu wa kisheria katika Atabatu Abbasiyya Sayyid Ahmadi Swafi.
Utowaji wa zahadi unatokana na mwenendo wa kituo hiki tangu kilipo anzishwa, katika shughuli zake huwa kinatenga nafasi maalumu kwa ajili ya familia za mashahidi wa jeshi la serikali na Hashdi Shaábi, kutokana na namna walivyo jitolea nafsi zao kwa ajili ya kulinda taifa na maeneo matukufu.
Familia za mashahidi zimetoa shukrani nyingi kwa Atabatu Abbasiyya tukufu kupitia kituo cha utamaduni wa familia kwa kuwapa zawadi hizi, wakasema kua wao kupewa zawadi na Atabatu Abbasiyya sio jambo geni.