Mradi wa ujenzi umekusanya baina ya utukufu na usasa kwenye mradi wa upanuzi wa Maqaam ya Imamu Mahadi (a.f).

Maoni katika picha
Kazi ya upanuzi wa Maqaam ya Imamu wa zama (a.f) bado inaendelea, imesha piga hatua kubwa, sehemu inayo ongezwa imeanza kuonekana bayana chini ya usanifu wa kisasa unao endana na Atabatu Abbasiyya tukufu.

Rais wa kitengo cha kihandisi katika Atabatu Abbasiyya Mhandisi Dhiyaau Swaaigh amesema kua: “Tumemaliza ujenzi wa zege pamoja na kazi ya kashi Karbalai, sambamba na kazi ya umeme, tumeanza kuweka mifumo ya viyoyozi (AC), zima moto na mingineyo, kwa idhini ya Mwenyezi Mungu mtukufu tutakalisha ujenzi ndani ya muda uliopangwa”.
Maoni ya wasomaji
Hakuna maoni
Kuweka maoni
Jina:
Nchi:
Barua pepe:
Kushiriki: