Chuo kikuu cha Al-Ameed kina mazingira bora ya kimasomo

Maoni katika picha
Chuo kikuu cha Al-Ameed ni chuo binafsi cha kwanza hapa Iraq kua na kitivo cha utaktari wa watu, pia kina kitivo cha udaktari wa meno na uuguzi, kinatumia selebasi za kisasa kitaifa na kimataifa.

Kina mazingira bora ya kimasomo, yanayo muwezesha mwanafunzi kusoma kwa amani na utulivu na kupata malezi bora, madarasa yake yamewekwa vifaa vya kisasa, kina maabara nzuri na eneo kubwa la bustani ya kupumzika, kinawalimu wazuri wenye uzowefu mkubwa, chio hiki kimekua na sifa nzuri kitaifa.

Fahamu kua chuo kikuu cha Al-Ameed kinatambuliwa na wizara ya elimu ya juu ya Iraq na kimesajiliwa kwa namba 6519.
Maoni ya wasomaji
Hakuna maoni
Kuweka maoni
Jina:
Nchi:
Barua pepe:
Kushiriki: