- Nafasi ya (wanachuoni wa hauza) katika:
- Kubainisha aina za miujiza ya Quráni.
- Kulinda Quráni tukufu na kuondoa utata kuhusu Quráni.
- Kuandika kuhusu tafiti za maarifa ya Quráni na tafsiri zao.
- Ukosoaji wa manhaji ya tafsiri ya Quráni.
- Kurahisisha ujifunzaji wa Qur’ni kwa wasio ongea kiarabu.
- Nafasi yao katika utumishi.
- Aya za Quráni katika kutoa hukumu za kisheria.
- Elimu za lugha ya kiarabu na adabu zake pamoja na (elimu saidizi) katika kutafsiri aya za Quráni na kuzifanyia ta-awiil.
- Masomo ya usulu katika tafsiri ya Quráni na ta-awiil.
- Aya za Quráni katika kulinda Aqida.
- Aya za Quráni katika kutatua changamoto za jamii.
- Msimamo wao katika:
- Uhusiano kati ya tafsiri ya aya ya Quráni na ta-awiil.
- Swala la majazi katika Quráni.
- Swala la historia ya Quráni.
- Kusoma Quráni kwa taratibu mpya na kulinganisha.
- Utafiti wa Mustashrikina na Mustaghribina katika Quráni.
- Juhudi za wanachuoni wa hauza na wa sekula kuhusu Quráni.
Amma kuhusu masharti ni:
- 1- Utafiti usiwe umesha wahi kutolewa mahala pengine.
- 2- Utafiti uwe na mashiko yanayo kubalika kielimu na sio visa vya kutunga.
- 3- Utafiti utokane na mada zilizo tajwa.
- 4- Izingatiwe misingi ya kielimu katika uandishi wa utafiti.
- 5- Kamati haiwajibiki kurudisha utafiti kwa muandishi wake sawa umekubaliwa au haujakubaliwa.
- 6- Tafiti zote zitawasilishwa mbele ya jopo la majaji na kuzishindanisha kielimu.
- 7- Utafiti uandikwe katika karatasi ya (A4) na kuhifadhiwa kwenye (CD) usizidi kurasa 25, maandishi yawe na ukubwa wa saizi 14 na hamishi ya saizi 12 hati ya (Simplified Arabic).
- 8- Utafiti uambatanishwe na wasifu wa mundishi kielimu (cv) pamoja na namba ya simu na anuani ya barua pepe.
- 9- Mwisho wa kupokea tafiti ni (1 /2/ 2020m).
Tafiti zitumwe kupitia barua pepe ya kongamano (Alhawza.36@gmail.com) au kupitia telegram kwa namba ya simu (+9647703888288).