Kukamilika kwa mradi wa kwanza wa Alkafeel unao husu majengo ya makazi na kazi yaendelea katika sehemu za watumishi..
25-12-2016
Kukamilika kwa mradi wa kwanza wa Alkafeel unao husu majengo ya makazi na kazi yaendelea katika sehemu za watumishi..
Rais wa kitengo cha miradi ya kihandisi katika Atabatu Abbasiyya tukufu, muhandisi Dhiyaau Majid Swaaigh ametangaza kukamilika kwa mradi wa nyumba za Alkafee za makazi zifikazo (831), kimsingi kazi ya ujenzi imekamilika ...