Ofisi ya Marjaa Dini mkuu Mheshimiwa Sayyid Sistani katika mji wa Najafu, imetangaza kuwa Alkhamisi ya kesho tunakamilisha mwezi mtukufu wa Dhulhijjah, na siku ya Ijumaa sawa na tarehe (21 Agosti 2020m) ndio siku ya kwanza ya mwezi mtukufu wa Muharam mwaka 1442 hijiriyya.