Maoni katika picha
Tambua kuwa kitabu hiki ni cha kwanza kwa ukubwa miongoni mwa vitabu vilivyo andika kuhusu fatwa ya Marjaa Dini mkuu Mheshimiwa Ayatullah Sayyid Ali Husseini Sistani, iliyo itikiwa na raia wa Iraq kwa kujiunga katika vikosi vya wapiganaji kupambana na magaidi wa Daesh.