Muhimu: Ujumbe wa Mheshimiwa Sayyid Ahmadi Swafi katika uzinduzi wa kitabu cha fatwa kifaya ya jihadi ya kujilinda

Maoni katika picha
Mheshimiwa kiongozi mkuu wa kisheria katika Atabatu Abbasiyya tukufu Sayyid Ahmadi Swafi ameongea katika uzinduzi wa kitabu cha fatwa kifaya ya kujilinda, sambamba na kuadhimisha miaka saba tangu ilipo tolewa fatwa hiyo, iliyo hami na kulinda ardhi ya Iraq na maeneo matakatifu.

Tambua kuwa kitabu hiki ni cha kwanza kwa ukubwa miongoni mwa vitabu vilivyo andika kuhusu fatwa ya Marjaa Dini mkuu Mheshimiwa Ayatullah Sayyid Ali Husseini Sistani, iliyo itikiwa na raia wa Iraq kwa kujiunga katika vikosi vya wapiganaji kupambana na magaidi wa Daesh.
Maoni ya wasomaji
Hakuna maoni
Kuweka maoni
Jina:
Nchi:
Barua pepe:
Kushiriki: