Ufafanuzi muhimu kutoka kwa Mheshimiwa kiongozi mkuu wa kisheria katika Atabatu Abbasiyya tukufu

Maoni katika picha
Mheshimiwa kiongozi mkuu wa Atabatu Abbasiyya Sayyid Ahmadi Swafi (d.i) amesisitiza kuwa: (Yaliyosemwa katika ujumbe wangu uliotolewa kwenye hafla ya ufunguzi wa kongamano la sita la fatwa tukufu ya kulinda maeneo matakatifu, lililofanyika leo tarehe 16/6/2022m ndani ya Atabatu Abbasiyya, ni maoni yangu kuhusu matukio yaliyojiri katika taifa hili, sio maelekezo ya Marjaa Dini, wala asihusishwe na hali ya kisiasa inayoendelea..).
Maoni ya wasomaji
Hakuna maoni
Kuweka maoni
Jina:
Nchi:
Barua pepe:
Kushiriki: