Kamati hizo ni:
- 1- Kamati ya kutathmini hasara zilizo tokana na mlipuko huo kwa raia.
- 2- Kamati ya kitabibu itakayo toa matibabu kwa watu watakao athirika na mioshi inayo toka sehemu ya mripuko.
- 3- Kamati ya miripuko itakayo fanya upekuzi (sachi) eneo lote na kuhakikisha halina mabaki ya milipuko.
07732934990
07803191707
07725249589