Muhimu kwa vyombo vyote vya habari: Kituo cha kutengeneza vipindi Alkafeel kimetangaza masafa ya kurusha matangazo ya bure katika kumbukumbu ya kifo cha Imamu Ali Haadi (a.s).

Maoni katika picha
Kituo cha utengenezaji wa vipindi na matangazo ya moja kwa moja (mubashara) Alkafeel chini ya kitengo cha habari na utamaduni, kimetangaza masafa ya bure itakayo tumika kurusha matukio ya kumbukumbu ya kifo cha Imamu Ali Haadi (a.s).

Kituo kinatoa wito kwa vyombo vyote vya habari vya kitaifa na kimataifa vitakavyo penda kurusha matukuo hayo kufuata maelekezo yafuatayo:

Sehemu:- Samaraa / Atabatu Askariyya tukufu.

Tukio:- Kifo cha Imamu Ali Haadi (a.s).

Masafa ni hii ifuatayo:

E3B at 3°E

Down:11579.4 H

SR:3200

DVBS2

8PSK

FEC:3/4

HD/MPEH-4


Kwa maelezo zaidi piga simu hii: +9647732407567
Maoni ya wasomaji
Hakuna maoni
Kuweka maoni
Jina:
Nchi:
Barua pepe:
Kushiriki: