Maoni katika picha
Hafla ilishuhudia usomaji tofauti kutoka kwa washiriki, ilifunguliwa kwa kisomo kilicho burudisha wahudhuriaji, cha msomaji wa mradi wa kiongozi wa wasomaji wa kitaifa Mauhubu Swadiq Fariji, kisha akasoma bwana Ahmadi Khalfu, halafu akasom bwana Muhammad Abdu Shahidi, na wakahitimisha kwa usomaji wa pamoja wa kikosi cha mashahidi wa Hashdi Shaábi waliogusa nyoyo za waumini.
Kumbuka kua hafla imepata mahudhurio makubwa pamoja na waandishi wa habari kutoka katika chanel ya Quráni tukufu ambayo ipo chini ya chanel za Karbala na kituo cha uzalishaji cha Alkafeel ambacho kipo chini ya kitengo cha habari na utamaduni cha Atabatu Abbasiyya tukufu.