Kitengo cha kusafisha figo katika hospitali ya rufaa Alkafeel ni uwezo wa rasilimali watu na vifaa

Maoni katika picha
Kitengo cha kusafisha figo katika hospitali ya rufaa Alkafeel chini ya Atabatu Abbasiyya tukufu kinaendeshwa na madaktari bingwa, ni moja na kituo muhimu hapa nchini, tunataja wasifu chache za kituo hicho:

  • 1- Rasili mali watu na vifaa.
  • 2- Kutibu matatizo madogo na makubwa.
  • 3- Mtambo wa kusafisha kidogo kidogo endelevu.
  • 4- Kuna ubinaadamu mkubwa wakati wa kumuhudumia mgonjwa.
  • 5- Vifaa tiba vya kisasa zaidi.

Fahamu kua hospitali ya rufaa Alkafeel ambayo ipo chini ya Atabatu Abbasiyya tukufu, inaendelea kufanya miradi ya kibinadamu inayo lenga kutoa huduma kwa mafakiri na familia za mashahidi katika mikoa tofauti ya Iraq.
Maoni ya wasomaji
Hakuna maoni
Kuweka maoni
Jina:
Nchi:
Barua pepe:
Kushiriki: