Uongozi mkuu wa Ataba mbili tukufu unatoa mkono wa pole kwa mashahidi wa Hashdi Shaábi waliopigana vita ya ushindi dhidi ya magaidi wa Daesh.

Maoni katika picha
Uongozi mkuu wa Ataba mbili tukufu Husseiniyya na Abbasiyya unatuma salam za rambirambi kufuatia shambulizi la kinyama lililofanywa karibu na uwanja wa ndege wa Bagdad, na kupelekea kuuawa majemedari wa vita dhidi ya magaidi wa Daesh.

Tangazo la rambirambi limetolewa kupitia haram ya Imamu Hussein na ndugu yake Abulfadhil Abbasi (a.s) mara nyingi.

Kumbuka kua Atabatu Abbasiyya imejiandaa kupokea msafara wa kushindikiza majeneza, na imeandaa masafa maalum itakayo rusha matangazo kwenye vituo vya luninga ambayo ni:

Sat:Express _AM7 aT 40°E
‏ F :11695 V
‏SR:3200
‏DVBS2/8PSK
‏FEC:2/3
‏HD/MPEG-4
Kwa maelezo Zaidi piga simu namba: (07706054144).
Maoni ya wasomaji
Hakuna maoni
Kuweka maoni
Jina:
Nchi:
Barua pepe:
Kushiriki: