Kwa picha: Muonekano wa mwisho wa mradi wa kituo cha cha kisasa cha maegesho ya magari cha Alkafeel, moja ya miradi mikubwa hapa Iraq.
30-05-2019
Kwa picha: Muonekano wa mwisho wa mradi wa kituo cha cha kisasa cha maegesho ya magari cha Alkafeel, moja ya miradi mikubwa hapa Iraq.
Rais wa kitengo cha miradi ya kihandisi katika Atabatu Abbasiyya tukufu Mhandisi Dhiyaau Majidi Swaaigh amesema: “Mradi wa kituo cha kisasa cha kuegesha magari umefika hatua ya mwisho, siku chache zijazo utakua tay ...