Angalia kwa video: Kusafirishwa miili ya waliokufa katika ajali nchini Sirya kutoka uwanja wa ndege wa Damaskas hadi kwenye taifa lao kipenzi

Maoni katika picha
Miili ya mazuwaru wa bibi Zainabu (a.s) wa kiiraq waliokufa kwenye ajali, inasafirishwa kwa ndege ya kivita ya Iraq kutoka uwanja wa ndoge wa Damaskas hadi uwanja wa ndege wa Najafu.

Baada ya ujumbe wa Atabatu Abbasiyya kukamilisha maandalizi yote na kuwafanyia ibada ya kuwashindikiza katika malalo takatifu ya bibi Zainabu (a.s), maandalizi yote yamefanywa kwa kushirikiana na wizara ya mambo ya nje ya Iraq na balozi wa Iraq nchini Sirya pamoja na wizara ya ulinzi ya Iraq na uongozi wa muungano wa opresheni za kijeshi sambamba na serikali ya mkoa wa Karbala na idara ya afya ya mkoa huo.
Maoni ya wasomaji
Hakuna maoni
Kuweka maoni
Jina:
Nchi:
Barua pepe:
Kushiriki: