Idara ya ustawi wa jamii imetangaza anuani na namba za simu za ofisi zake zilizopo kwenye mikoa tofauti

Maoni katika picha
Idara ya ustawi wa jamii katika Atabatu Abbasiyya tukufu, imetangaza anuani na namba za simu za ofiri zake zilizopo kwenye mikoa tofauti, zinazo tekeleza mradi wa (Marjaiyyatu-Takaaful) ulioanzishwa na Atabatu Abbasiyya, kwa ajili ya kusaidia familia za watu wenye kipato kidogo, zifuatazo ni anuani na namba za simu za ofisi hizo:

  • - Mkoa wa Nainawa/ ofisi ya Sahal Nainawa/ Nashwani Ismaili Shabakiy/ 07736978798.
  • - Mkoa wa Nainawa/ ofisi ya Taláfar/ Faisal Mahmuud Aali-Julaaq/ 07512635705.
  • - Mkoa wa Dhiqaar/ ofisi ya Dhiqaar/ Hussein Kanishi Ibrahimi/ 07816179637.
  • - Mkoa wa Swalahu Dini/ ofisi ya Balad/ Hussein Ali Abdul-Baladawi/ 07824929491.
  • - Mkoa wa Waasit/ ofisi ya Waasit/ Ali Haadi/ 07727182886.
  • - Mkoa wa Diwaniyya/ ofisi ya Diwaniyya/ Karraar Dhabhawi/ 07713535812.
  • - Mkoa wa Misaan/ ofisi ya Misaan/ Swafaau Ayaad Sudani/ 07705599218.
  • - Mkoa wa Najafu/ ofisi ya Najafu/ Aqiil Abudi Mahbubah/ 078001592626.
  • - Mkoa wa Muthanna/ ofisi ya Samawa/ Jaabir Jayashi/ 07807161729.
  • - Mkoa wa Karkuk/ ofisi ya Karkuk/ Aqiil Ibrahim Hamza Karam/ 07702184292.
  • - Mkoa wa Baabil/ ofisi ya Baabil/ Muslim Ni’matu Fatalawi/ 07725753881.
  • - Mkoa wa Baabil/ Kaskazini ya Baabil/ Qassim Rahim Hamdi/ 07807392263.
  • - Mkoa wa Bagdad/ ofisi ya Karkhi/ Haidari Abudi Sudani/ 07736013891.
  • - Mkoa wa Bagdad/ ofisi ya Raswafah/ Wasaam Hussein Saádi/ 07707836508.
  • - Mkoa wa Bagdad/ ofisi ya Kadhimiyya/ Jaasim Abduljabbaar Muhammad/ 07708851444.
  • - Mkoa wa Karbala/ ofisi ya Karbala/ Falahu Hassan Muhammad/ 07805060090.
  • - Mkoa wa Basra/ ofisi ya Basra/ Swafaau Halfi/ 07801102541.
  • - Mkoa wa Basra/ Kaskazini ya Basra/ Muniru Maliki/ 07705637734.
  • - Mkoa wa Diyala/ ofisi ya Diyala/ Hassan Ali Mussawi/ 07706960898.

Kumbuka kua Marjaa Dini mkuu ametoa wito wa kuungana katika kusaidia familia za mafakiri na watu wenye kipato kidogo wakati huu wa marufuku ya kutembea kwa ajili ya kupambana na maambukizi ya virusi vya Korona, ndio Atabatu Abbasiyya ikaanzisha opresheni ya (Marjaiyyatu-Takaaful) kwa ajili ya kusaidia familia za watu wenye kipato kidogo.
Maoni ya wasomaji
Hakuna maoni
Kuweka maoni
Jina:
Nchi:
Barua pepe:
Kushiriki: