Kupitia huduma hiyo mdau wa maktaba anaweza kuazima kwa njia ya mtandao hadi vitabu vinne ndani ya wiki moja.
Masharti na madhumuni ya huduma hii:
- 1- Walengwa wa huduma hii ni wanafunzi wa elimu za juu wanaosoma kwenye vyuo vikuu vya Iraq, kwa sharti la kutuma vitambulisho vya chuo unacho soma.
- 2- Unaweza kuazima mara moja kwa wiki.
- 3- Mnufaika atasajiliwa kupitia anuani yake ya barua pepe, hivyo ni lazima iwe inafanya kazi.
- 4- Maombi yeyote yenye upungufu hayatashughulikiwa au yatakayo kua na taarifa zinazo pingana na ukweli.
- 5- Utajibiwa kulingana na maombi yako, tunaomba muwe na subira na muwe waelewa.
- 6- Kabla ya kujaza fomu, andika namba ya maombi na kitabu unacho hitaji kwa rangi ya kijani, kwenye mtandao wa maktaba kupitia link ifuatayo”
https://www.alkafeel.net/library/elec_lib/
Zingatia:
- - Kuwepo kwa alama ya (*) mbele ya kolam inamaanisha kua hiyo kolam ni ya lazima.
- - Ili ombi lako lishughulikiwe.. lazima ufuate masharti ya uombaji na uzingatie maelekezo yaliyopo mbele ya kila kolam na yale yaliyopo ndani ya mabano.
Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kwa (library@alkafeel.net) au piga simu namba (009647806088899).
Kwa mahitaji ya vitabu vya kwenye mtandao ingia katika nink ifuatayo:
https://forms.gle/ua35GhvfWtjnGMNf8