Kwa video: Majengo ya makazi ya familia za mashahidi (Alwafaa) yamepiga hatua kubwa

Maoni katika picha
Mradi wa nyumba za makazi ya familia za mashahidi wa kikosi cha Abbasi (a.s) Alwafaa umepiga hatua kubwa na unatarajiwa kukamilika ndani ya muda uliopangwa.

Mradi huu ni sehemu ndogo ya kuonyesha thamani ya kujitolea mashahidi hao kwa ajili ya taifa hili, na umuhimu wa familia ambazo zimejitolea wapenzi wao kwa ajili ya kulinda taifa la Iraq na maeneo matakatifu.

Eneo la uwanja unapojengwa mradi huo unaukubwa wa mita za mraba (2500), hatua ya kwanza zimejengwa nyumba nane za makazi kila moja ikiwa na ukubwa wa mita za mraba (200).
Maoni ya wasomaji
Hakuna maoni
Kuweka maoni
Jina:
Nchi:
Barua pepe:
Kushiriki: