Maoni katika picha
Ametembelea kuangalia maendeleo ya kazi na kuwahimiza watekelezaji wa mradi huo wahakikishe unakamilika kwa wakati uliopangwa na viwango vinavyo takiwa na wanufaika.
Kumbuka kua mafundi wa kitengo cha usimamizi wa kihandisi katika Atabatu Abbasiyya tukufu walianza ujenzi huo mwezi (6 Shabani 1441h) sawa na tarehe (31 Machi 2020m) katika uwanja wa hospitali ya Hindiyya, ukubwa wa kiwanja hicho ni (2m1500) jengo hilo litakua na vyumba (35) vya wagonjwa.