Kitengo cha habari kimetoa wito kwa vyombo vyote vya habari vya kitaifa na kimataifa vinavyo penda kurusha vipindi hivyo watumie anuwani zifuatazo:
Satellite: Eutelsat7A at 7.0 East(W3A)
DOWNLINK:12680.200 H
MOD:DVBS2
QPSK
FEC:5/6
Sr :3250
HD/MPEG-4
Tariba ya vipindi vya Ataba katika mwezi wa Ramadhani itakuwa kama ifuatavyo:
- - Quráni tukufu na adhana ya Dhuhuraini saa 5:45.
- - Usomaji wa Quráni kutoka Atabatu Abbasiyya tukufu saa 11:00 Alasiri.
- - Quráni tukufu na adhana ya Magharibaini saa 12:45.
- - Duaau-Iftitaahi saa 2:00 jioni.
- - Muhadhara wa kidini kutoka Atabatu Abbasiyya utakao tolewa na Mheshimiwa Shekh Abduswahibu Twaaiy saa 3:00 jioni.
- - Kipindi cha meza ya vizito viwili (Maaidatu-Thaqalaini) kipindi cha Quráni yenye vipengele vingi saa 5:00 usiku.
- - Duaau-Abu Hamza Shimali saa 6:00 katikati ya usiku.
- - Dua za usiku na adhana ya Alfajiri zitaanza saa 9:15 Alfajiri.