Kituo cha faharasi na kupangilia taaluma kwa kushirikiana na jumuiya ya Al-Ameed na chuo kikuu cha Al-Ameed na Alkafeel zinaratibu warsha itakayo endeshwa kwa njia ya mtandao

Maoni katika picha
Kituo cha faharasi na kupangilia taaluma chini ya maktaba na Daaru Makhtutwaat ya Ataba tukufu inaratibu warsha itakayo endeshwa kwa njia ya intanet (Webinar) kuhusu (Aina za maktaba katika nchi za kiarabu baina ya nadhariyya na hali halisi) kwa kutumia program ya (ZOOM Cloud Meetings) siku ya Jumanne tarehe (2 Juni 2020m) saa kumi na moja jioni kwa majira ya Bagdad.

Warsha hii itafanywa kwa ushirikiano wa jumuiya ya Al-Ameed na juo kikuu cha Al-Ameed pamoja na cha Alkafeel, wahadhiri wa warsha hiyo ni:

  • - Ali Abduswamadu Aali Farhaad/ mwenyekiti wa kikao/ kutoka kitengo cha maktaba na taaluma katika chuo kikuu cha Basra.
  • - Jamali bun Matwar bun Yusufu Salimiy/ rais wa kitengo cha utafiti na taaluma/ kutoka kitivo cha adabu na elumu ya jamii katika chuo kikuu cha Sultani Qabusi.
  • - Abeli Inadi Asaaf/ rais wa kamati ya elimu katika jumuiya ya maktaba na vielelezo vya kisiriya.
  • - Damushi Osama/ mwalimu wa maktaba na taaluma katika chuo kikuu cha Jilali Alyaabis Sayyidi Biláas – Aljeria, pia ni mjumbe wa kamati ya kupangilia taaluma ya Aljeria.
  • - Mahmudu Swalehe Ismaili/ kutoka kitengo cha maktaba katika chuo kikuu cha Mosul.
  • - Azharu Zaair Jaasim/ kutoka kitengo cha maktaba na taaluma katika chuo kikuu cha Mustanswariyya.
  • - Imadu Bashiri/ mkuu wa kitivo cha habari katika chuo kikuu cha Albananiyya.
  • - Mutawaliy Mahmudu Naqiib/ kutoka kitengo cha maktaba na taaluma/ katika kitivo cha adabu –chuo kikuu cha Monoviya.
  • - Aiman Swalehe Ali Rahmah/ mkufunzi wa maktaba na taaluma katika chuo kikuu cha Bahra –Sudani-.
  • - Amina Madani/ mkufunzi wa Maahadi Al-Aali Litauthiiq, katika chuo kikuu cha Manuba –Tunisia-.

Watagawa vteti vya ushiriki kupitia barua pepe zilizo sajiliwa tu.

Muda wa nadwa kwa mujibu wa nyakati za nchi zingine ni kama ifuatavyo:

Saa 12:00 – 02:00 jioni kwa nyakati za Oman (Maskati).

Saa 11:00 – 7:00 jioni kwa nyakati za Lebanon.

Saa 9:00 - 11:00 jioni kwa nyakati za Tunisia.

Saa 10:00 – 12:00 jioni kwa nyakati za Sudani.

Saa 9:00 – 11:00 jioni kwa nyakati za Aljeria.

Saa 10:00 - 12:00 jioni kwa nyakati za Misri.

Saa 11:00 – 7:00 jioni kwa nyakati za Sirya.

Link ya kujisajili ni: https://us02web.zoom.us/webinar/register/WN_MuUvnq4KQ4-Qghaq2oAOxg
Maoni ya wasomaji
Hakuna maoni
Kuweka maoni
Jina:
Nchi:
Barua pepe:
Kushiriki: