Kituo cha faharasi na kupangilia taaluma kinakusudia kufanya warsha kuhusu (mtoto na usomaji)

Maoni katika picha
Kituo cha faharasi na kupangilia taaluma chini ya maktaba na Daru Makhtutwaat ya Atabatu Abbasiyya kwa kushirikiana na jumuiyya ya Al-Ameed pamoja na chuo kikuu cha Al-Ameed na Alkafeel kimekusudia kufanya warsha kuhusu (mtoto na usomaji) kwa njia ya intanet (Webinar) program ya (ZOOM Cloud Meetings) siku ya Jumanne tarehe (23/06/2020m).

Watoa mada wa warsha hiyo ni:

  • Ustadh Muhammad Alawiy mkuu wa kituo cha utamaduni wa watoto katika Atabatu Alawiyya.
  • Dokta Adhraa Ismail Zidani kutoka chuo kikuu cha Bagdad kitengo cha masomo ya mwanamke, pia ni rais wa kitengo cha kujenga uwezo.
  • Mwalimu Hiba Abdulmuhsin Abdulkarim, mbobezi wa elimu ya jamii katika chuo kikuu cha Bagdad kitengo cha masomo ya mwanamke.
  • Ustadh Haidari Muhammad Hussein Ka’biy, mtafiti wa elimu ya jamii na makamo wa mkuu wa kituo cha utamaduni wa watoto katika Atabatu Alawiyya.

Warsha itaanza saa (11:00 – 01:00) jioni kwa nyakati za Bagdad.

Kumbuka kuwa kuna vyeti vya ushiriki watakavyo pewa washiriki na vitatumwa kwa njia ya (barua pepe zilizo sajiliwa).

Link ya kujisajili ni:

https://us02web.zoom.us/webinar/register/WN_jhgRaZdBRKO51kcmHdxJiA

hakikisha unaandika kwa umakini (jina unalo tumia), (neno la siri) utakalo tumia kuingia (kwenye mkutano) na barua pepe yako utakayo sajili.
Maoni ya wasomaji
Hakuna maoni
Kuweka maoni
Jina:
Nchi:
Barua pepe:
Kushiriki: