Kituo cha faharasi na kupangilia taaluma kimekusudia kufanya warsha kuhusu (teknolojia ya taaluma za maktaba)

Maoni katika picha
Kituo cha faharasi na kupangilia taaluma chini ya maktaba na Daru Makhtutwaat ya Atabatu Abbasiyya, kwa kushirikiana na jumuiya ya Al-Ameed na chuo kikuu cha Al-Ameed na Alkafeel, wamekusudia kufanya warsha kuhusu (teknolojia ya taaluma za maktaba) kwa njia ya intanet, kwa kutumia program ya (Webinar) App ya (ZOOM Cloud Meetings).

Wahadhiri wa warsha hiyo ni:

  • - Dokta Naima Hassan/ Dokta wa tafiti za kielimu kutoka chuo kikuu cha Batasergh Marekani.
  • - Dokta Hisham Makkiy/ Mkuu wa mipango katika maktaba kuu ya Rojars, Arakansa Masekani.
  • - Ustadh Bahaau Twalibu/ Mkuu wa kitengo cha msaada wa kitaalam katika kituo cha faharasi na kupangilia taaluma.
  • - Ustadh Hisham Daruweshi/ Mkuu wa shirika la Nasiji.

Muda utakao fanyika warsha hiyo kwa mujibu wa nyakati za kila mji:

Saa 11:00 – 1:00 jioni kwa nyakati za Bagdad.

Saa 12:00 – 2:00 jioni kwa nyakati za Maskat.

Saa 11:00 – 1:00 jioni kwa nyakati za Bairut.

Kumbuka kuwa kuna vyeti vya ushiriki watakavyo pewa washiriki pekeyake, (kupitia barua pepe zilizo sajiliwa tu).

Kujisajili tumia link ifuatayo: https://us02web.zoom.us/webinar/register/WN_BYCIehWZQi2SRQzdlpqPEg?fbclid=IwAR1_DAmmQQDCE65V69mOAsB2LcpxnnMpSvLoL_JKJybLwUk-LSV5Yzpazf0
Hakikisha unapata utambulisho wa kikao katika barua pepe utakatayo sajili, jina unalo tumia (user name), neno la siri (Password), kikao (Meeting).
Maoni ya wasomaji
Hakuna maoni
Kuweka maoni
Jina:
Nchi:
Barua pepe:
Kushiriki: