Toleo la ishirini na mbili la jarida la (Dirasaati-Istishraqiyyah)

Maoni katika picha
Hivi karibuni kituo cha masomo ya kimkakati chini ya kitengo cha habari na utamaduni katika Atabatu Abbasiyya, kimechapisha toleo la ishirini na mbili la jarida la (Dirasaati-Astishraqiyyah) linalo elezea turathi kwa undani.

Jarida hilo linamada za zifuatazo:

  • - Juhudi za kusoma lahaja za Aljeria zilizofanywa na wafaransa/ Dkt. Haji Benedi.
  • - Masomo ya Istishraqiyyah na turathi za utamaduni katika nchi ya Tunisia wakati wa ukoloni (kutawaliwa) mwaka (1881 – 1965) majaribio ya kutoa picha mbaya/ Muhammad Bashiri Razaqi.
  • - Juhudi za Mustashriq wa kijerumani Yuhani Faki katika lahaja za kiarabu/Dkt. Osama Madhwi.
  • - Mradi wa Devid Raubeni –Myahudi- wa kuitawala Palestina mwaka (1522 – 1538)/ Dkt. Mustwafa Wajihi Mustwafa.
  • - Maendeleo ya lugha ya kiarabu katika nchi ya Ufaransa.. majadiliano/ Jihadu Saadi.

Kupakua taarifa zaidi fungua link ifuatayo: https://m.iicss.iq/?id=99

Kumbuka kuwa jarida la (Dirasati-Istishraqiyyah) linaandika kuhusu turathi za mashariki ya kati na linapambana kuhakikisha maktaba hazikosi jarida linalo eleza harakati za Mustashriqina. Kwa maelezo zaidi fungua link hii (https://m.iicss.iq/?id=99).
Maoni ya wasomaji
Hakuna maoni
Kuweka maoni
Jina:
Nchi:
Barua pepe:
Kushiriki: