Wakufunzi wa warsha hiyo ni:
- - Walidi Ghali/ mkuu wa maktaba ya Aghakani huko Landan na mwalimu wa masomo ya kiarabu na kiislamu katika Maahadi ya Hadwaratu-Islamiyya.
- - Ali Twalib/ mtaalamu wa faharasi za nakala-kale katika kituo cha faharasi na kupangilia taaluma.
Washiriki wa warsha hiyo watatunukiwa vyeti kupitia barua pepe zao, link ya kujiunga na warsha ni: https://us02web.zoom.us/webinar/register/WN__8LV_sF8QGCaAddUYsnmzA
kumbuka kuwa kituo cha faharasi na kupangilia taaluma chini ya maktaba na Daru Makhtutwaat ya Atabatu Abbasiyya tukufu, bado kinaendelea kuratibu harakati zake kwa njia ya mtandao, kama sehemu ya kutekeleza maagizo ya wizara ya afya katika kipindi hiki cha janga la Korona.