Atabatu Abbasiyya tukufu inatoa mkono wa pongezi kwa ulimwengu wa kiislamu kwa kuingia sikukuu ya Idul-Adh-ha

Maoni katika picha
Uongozi mkuu wa Atabatu Abbasiyya tukufu unatoa mkono wa pongezi kwa Imamu wa zama Mahadi msubiriwa (a.f), na Maraajií watukufu pamoja na waislamu wote duniani, kwa kuingia sikukuu tukufu ya Idul-Adh-ha, Mwenyezi Mungu ajaalie amani na afya, tunamuomba Mwenyezi Mungu alipe taifa letu amani na utulivu, na aondoe mabalaa na kuwaponya haraka wagonjwa pamoja na kukubali maombi ya waumini wote pamoja na ibada zao, Allah akupeni kheri nyingi na baraka.
Maoni ya wasomaji
Hakuna maoni
Kuweka maoni
Jina:
Nchi:
Barua pepe:
Kushiriki: