Maelezo ya ratiba hiyo yametolewa na mkuu wa chuo Shekh Hussein Turabi: “Ratiba hii inalenga harakati maalum za chuo katika mwezi mtukufu wa Muharam”.
Akafafanua kuwa: “Ratiba hiyo itakuwa na mashindano yafuatayo:
- 1- Shindano la (Aljuud) kaswida zinazo muelezea Abulfadhil Abbasi (a.s).
- 2- Shindano la (Mubaligh wa Husseiniyya na jamii) wanafunzi wa chuo kikuu cha Ummul-Banina (a.s) wataandika Makala kuhusu (Nafasi ya Mubaligh wa Husseiniyya katika kutengeneza jamii kifikra).
- 3- Shindano la (Mafundisho ya Husseiniyya ya Islahi)
- 4- Shindano la (Hussein na Quráni).
- 5- Shindano la (Mwangaza wa Ashura).
Unaweza kufuatilia kupitia ukurasa wa:
- 1- Facebook
- 2- instagram