Ofisi ya Mheshimiwa Marjaa Dini mkuu imetangaza kuwa: Mwezi mosi Rabiul-Awwal itakuwa siku ya Jumatatu na kesho tunakamilisha mwezi wa Safar.

Maoni katika picha
Ofisi ya Mheshimiwa Ayatullah Sayyid Sistani imetangaza kuwa, haijathibiti kuonekana mwezi kwa macho hapa Iraq na nchi jirani baada ya kuzama jua siku ya Jumamosi ya mwezi (29 Safar), hivyo kesho siku ya Jumapili ni siku ya mwisho katika mwezi huu na Jumatatu itakua siku ya kwanza ya mwezi wa Rabiul-Awwal 1422h, Mwenyezi Mungu aufanye kuwa mwezi wa kheri na baraka kwa waislamu wote.
Maoni ya wasomaji
Hakuna maoni
Kuweka maoni
Jina:
Nchi:
Barua pepe:
Kushiriki: