- 1- Famasiya (dokta / masta).
- 2- Vifaa tiba (dokta / masta).
- 3- Famasiya ya vitanda (dokta / masta).
- 4- Kemiya ya viumbe hai (masta).
- 5- Elimu ya uhai / falsaja (masta).
- 6- Uhandisi wa kompyuta (masta).
Muombaji anatakiwa kukamilisha sifa zilizo wekwa na chuo, maombi yanaanza kupokelewa tarehe (1/11/2020) hadi (10/11/2020).
Kwa anayetaka kujiunga na masomo hayo afike katika ofisi za chuo zilizopo Najafu Ashrafu, mtaa wa Nidaa – nguzo ya 23 karibu na jengo la makazi Amiraat akiwa na vitu vifuatavyo:
- 1- Taarifa zake binafsi.
- 2- Shahada ya kuhitimu chuo.
- 3- Vitambulisho vyake.