Wametoa wito kwa vyombo vya habari vya kitaifa na kimataifa vinavyo penda kurusha matukio ya kongamano hilo, watumie anuani zifuatazo:
Satellite: Eutelsat 7A at 7.0 East(W3A)
DOWNLINK:12680.200 H
MOD:DVBS2
QPSK
FEC:5/6
Sr :3250
HD/MPEG-4
Ratiba ya matangazo itakuwa kama ifuatavyo:
- 1- Usomaji wa Quráni tukufu.
- 2- Wimbo wa taifa la Iraq na kusoma surat Fat-ha.
- 3- Kukaribisha wageni (Uongozi mkuu wa Atabatu Alawiyya tukufu).
- 4- Ujumbe kutoka kwa Ustadh wa Hauza, Mheshimiwa Sayyid Muhammad Ali Bahrul-Uluum.
- 5- Video inayo onyesha ushujaa na kuanzishwa kwa vikosi vinne.
- 6- Ujumbe kutoka wizara ya ulinzi.
- 7- Ujumbe kutoka kwa vikosi vya Hashdu-Atabaat.