Ofisi ya Mheshimiwa Sayyid Sistani imetangaza kuwa Jumapili ni mwezi moji Rajabu Aswabu

Maoni katika picha
Ofisi ya Mheshimiwa Marjaa Dini mkuu Ayatullahi Sayyid Ali Husseini Sistani (d.dh) katika mji wa Najafu, imetangaza kuwa kesho siku ya Jumamosi, tunakamilisha mwezi wa Jamadal-Aakhar, na siku ya Jumapili sawa na tarehe (14 Februali 2021m) ndio siku ya kwanza katika mwezi mtukufu wa Rajabu mwaka 1442 hijiriyya.
Maoni ya wasomaji
Hakuna maoni
Kuweka maoni
Jina:
Nchi:
Barua pepe:
Kushiriki: