Skaut ya Alkafeel inatoa wito wa kushiriki kwenye semina ya fani ya uhadhiri

Maoni katika picha
Jumuiya ya Skaut ya Alkafeel chini ya idara ya watoto na makuzi katika kitengo cha habari cha Atabatu Abbasiyya tukufu, inakusudia kuendesha semina kwa njia ya mtandao inayo husu fani ya uongeaji, na inatoa mualiko kwa kila mwenye uwezo wa kuongea mbele ya watu, semina hii ni sehemu ya mfululizo wa semina zinazo tolewa na Jumuiya siku hizi.

Inalenga kuongeza uwezo wa vijana katika fani hiyo, itakua chini ya ukufunzi wa walimu mahiri waliobobea katika fani hiyo, kutakuwa na mada nyingi kuhusu fani hiyo, zinazo endana na umri wa washiriki.

Mada zitakazo fundishwa ni:

  • - Kujiamini na uthubutu.
  • - Kuandaa tamko.
  • - Vipaji vya sauti.
  • - Vipaji vya lugha ya muili.

Semina itakuwa na:

  • - Kufanyia kazi vipaji kwa vitendo.
  • - Wajibu mbalimbali.
  • -
  • -
  • - Washiriki watapewa vyeti.
  • - Watakao fanya vizuri watapewa zawadi.

Wanafunzi hodari watapewa kipaombele cha kukaribishwa katika semina zijazo za kuhudhuria moja kwa moja darasani au kwa njia ya mtandao bure.

Link ya kujisajili ni: https://forms.gle/ZBktWDupsr8A9rcA7

Link ya semina ni: https://t.me/joinchat/Y5myQln7Jo40NTNi
Maoni ya wasomaji
Hakuna maoni
Kuweka maoni
Jina:
Nchi:
Barua pepe:
Kushiriki: