Chuo kikuu cha Alkafeel kinatoa wito wa kuhudhuria kwenye kongamano lake la kimataifa

Maoni katika picha
Chuo kikuu cha Alkafeel kinatoa wito wa kuhudhuria kwenye kongamano lake la kimataifa awamu ya tatu kuhusu fani ya udaktari na uhandisi pamoja na elimu zingine. International Scientific Conference of Alkafeel University (ISCKU).

Linalo tarajiwa kufanyika ndani ya ukumbi wa Shekh Nasru-Dini Tusi katika kitivo cha udaktari wa meno, saa nne asubuhi siku ya Jumatatu (22/03/2021m), kupitia link ifuatayo: https://alkafeel-edu-iq.zoom.us/my/iscku

Passcode
kafeel
Maoni ya wasomaji
Hakuna maoni
Kuweka maoni
Jina:
Nchi:
Barua pepe:
Kushiriki: