Shindano hili linafanywa kwa mwaka wa tatu mfululizo, linalenga kuadhimisha kitabu cha Mwenyezi Mungu katika nafsi za washiriki, na kunufaika na mwezi huu mtukufu kwa kujikurubisha kwa Mwenyezi Mungu pamoja kushajihisha kuhifadhi na kusoma kwa ufasaha kitabu cha Mwenyezi Mungu mtukufu.
Masharti ya shindano:
- - Mshiriki achague moja ya vikundi vitatu cha shindano (juzuu 5, juzuu 10, juzuu 20).
- - Shindano ni kwa wanaupe tu.
- - Shindani ni maalum kwa wakazi wa mkoa wa Najafu.
- - Haifai mshiriki kuchagua chini ya kiwango cha juzuu kilicho tajwa.
- - Siku ya mwisho ya usajili ni Jumanne ya mwezi (21 Ramadhani).
- - Usajili unafanywa kupitia link ifuatayo: https://forms.gle/onKS3M1bhvf1Upkb6.
Maahadi imeandaa zawadi za washindi watatu wa mwanzo katika kila kikundi, kwa maelezo zaidi piga simu (07601663569).